VETA YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE DODOMA


  Baadhi ya wakazi wa mkoani Dodoma wakiangalia viatu vinatengenezwa na wajasiriamali wa hapa nchini kwenye Banda la VETA katika maonyesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya nzuguni Dodoma

 Meneja Uhusiano wa VETA, Grace Kabogo wa kwanza kushoto akipanga bidhaa zilizotengenezwa na wajasiriamali kwenye maonyesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya nzuguni Dodoma

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI