ChemiCotex
Industries Limited chini ya udhamini wa bidhaa zake bora za watoto ‘bebi’
inapenda kukuletea shindano la kwanza la kitaifa “ Picha Nzuri ya
Mtoto”
Lengo la
shindano hili ni kuwaleta wazazi pamoja na watoto wao wenye umri kati ya miezi 0
hadi miezi 18. Shindano la Picha Nzuri ya Mtoto inakuhakikishia
…
Shindano hili ni
kwa ajili ya watoto walio ndani ya Tanzania pekee na itaendeshwa kuanzia tarehe
1 Novemba hadi 30 Novemba tu.
Tunapenda
kuwahimiza sana kina Mama, Baba, Shangazi, Wajomba, Mama na Baba Wadogo na
Wakubwa, Bibi nd Babu pamoja na Wazazi Walezi:-
Piga au pata
picha nzuri ya mwanao kisha tuma hiyo picha kwa njia
mojawapo:
Tuma barua pepe
kwenda photobebi@gmail.com AU
Peleka TSN,
Shoprite na maduka shiriki AU
Peleka ofisi za
ChemiCotex zilizopo mikoani Tanzania nzima
Chemi Cotex
Industries inakuahidi zawadi bora kwa ajili ya mtoto
wako
*Vigezo na
Masharti kuzingatiwa. Hasa matumizi ya picha ya watoto washindi kwa ajili ya
kalenda ya Bebi.
Comments