RATIBA YA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA DRFA


Mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa DRFA utakuwa kama ifuatavyo:
30/10/2012                                         Kamati ya Uchaguzi DRFA kutangaza uchaguzi na nafasi
Zinazogombewa kwa mujibu wa katiba ya DRFA
31/10/2012                                         Kuanza kuchukua fomu za kugombea uongozi
04/11/2012                                         Mwisho wa kurudisha fomu ifikapo saa 10:00 alasiri
05-09/11/2012                                   Kamati ya Uchaguzi DRFA kupitia fomu za waombaji uongozi na
kutangaza matokeo na kubandika kwenye mbao majina ya waombaji uongozi.
10-14/11/2012                                   Kutoa fursa ya pingamizi dhidi ya waombaji uongozi. Pingamizi
ziwasilishwe kwa katibu wa Kamati ya Uchaguzi DRFA na
wawekaji pingamizi wazingatie Ibara ya 11 (2) ya Kanuni za
Uchaguzi za Wanachama wa TFF.
15-17/11/2012                                   Kujadili pingamizi, usaili na kutangaza matokeo ya usaili na
kuwajulisha kwa maandishi.
18-20/11/2012                                   Kukataa rufaa dhidi ya maamuzi ya Kamati ya Uchaguzi ya DRFA
21-25/11/2012                                   Rufaa kusikilizwa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF na kutangaza
matokeo ya rufaa (Kama hakuna rufaa, Kamati ya Uchaguzi ya
DRFA kutangaza majina ya wagombea na nafasi wanazogombea
na kuanza kampeni).
26/11/2012                                         Baada ya maamuzi ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Kamati ya
Uchaguzi ya DRFA kutangaza majina ya wagombea na nafasi zao
na kuanza kwa kampeni
12/12/2012                                         Uchaguzi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI