CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WANAFUNZI


Mwakilishi wa CRDB, Katemi Silas Bugami (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi wakitoka kwenye ukumbi wa Machui baada ya kutoa mada zao kwa wanafunzi.
Picha na Martin Kabemba.
Wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki, Kati na Nigeria wanakutana Machui, mkoa wa Kusini Unguja kwenye Kongamano la kimataifa la siku 5 Kongamano hilo limefadhiliwa na Benki ya Posta Tanzania na Benki ya CRDB kupitia umoja wao wa AIESEC wenye makao makuu yake mjini Dar es salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI