CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WANAFUNZI


Mwakilishi wa CRDB, Katemi Silas Bugami (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi wakitoka kwenye ukumbi wa Machui baada ya kutoa mada zao kwa wanafunzi.
Picha na Martin Kabemba.
Wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki, Kati na Nigeria wanakutana Machui, mkoa wa Kusini Unguja kwenye Kongamano la kimataifa la siku 5 Kongamano hilo limefadhiliwa na Benki ya Posta Tanzania na Benki ya CRDB kupitia umoja wao wa AIESEC wenye makao makuu yake mjini Dar es salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA