CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WANAFUNZI


Mwakilishi wa CRDB, Katemi Silas Bugami (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi wakitoka kwenye ukumbi wa Machui baada ya kutoa mada zao kwa wanafunzi.
Picha na Martin Kabemba.
Wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki, Kati na Nigeria wanakutana Machui, mkoa wa Kusini Unguja kwenye Kongamano la kimataifa la siku 5 Kongamano hilo limefadhiliwa na Benki ya Posta Tanzania na Benki ya CRDB kupitia umoja wao wa AIESEC wenye makao makuu yake mjini Dar es salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--