KUSIKO NA USIMAMIZI WA SHERIA NYAMA PORI NI HADHARANI KAMA HIVI

Mkazi wa Kijiji kimoja kilichomo katika Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera, akisafirisha Nyama ya Wanyama Pori, ambayo haikuweza kufahamika kwa hara ni nyama ya mnyama gani, ambapo muda mchache kabla ya jamaa huyu eneo hili walipita wengine wawili wakiwa wameongozana huku pia wakiwa wamebeba nyama kama hii, ambayo imeelezwa hupelekwa kuuzwa kijiji cha mbele ambako kumechangamka kutokana na mabasi mengi kusimama maeneo hayo ambayo jamaa hawa hufanya biashara ya kuchoma nyama hii. 

Hivyo wasafiri kueni makini kula hovyo nyama za kuchoma njiani msizozijua kwa haraka kwani unaweza kula usichokitarajia na pia usafirishaji huu na uwindaji haramu kama huu huendelea katika maeneo kama haya kutokana na wasimamizi wa sheria zilizowekwa kuwa wakifanyika kazi zao mojini tu bila kufika katika maeneo husika.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*