MTEJA KUHAMA NA NAMBA ZA KWENDA MTANDAO MWINGINE

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), Profesa John Nkoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya mkutano wa 5 wa wadau wa mawasiliano Afrika wa utekelezaji na usimamizi wa mtumiaji wa simu kumwezesha kuhama na namba yake ya simu kwenda nayo mtandao mwingine. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), Profesa John Nkoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya mkutano wa 5 wa wadau wa mawasiliano Afrika wa utekelezaji na usimamizi wa mtumiaji wa simu kumwezesha kuhama na namba yake ya simu kwenda nayo mtandao mwingine.
                                Baadhi ya maofisa wa mamlaka hiyo wakiwa katika mkutano huo

                                      Profesa Nkoma akifafanua jambo mbele ya wanahabari

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.