Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), Profesa John Nkoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya mkutano wa 5 wa wadau wa mawasiliano Afrika wa utekelezaji na usimamizi wa mtumiaji wa simu kumwezesha kuhama na namba yake ya simu kwenda nayo mtandao mwingine. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), Profesa John Nkoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya mkutano wa 5 wa wadau wa mawasiliano Afrika wa utekelezaji na usimamizi wa mtumiaji wa simu kumwezesha kuhama na namba yake ya simu kwenda nayo mtandao mwingine.
Baadhi ya maofisa wa mamlaka hiyo wakiwa katika mkutano huo
Profesa Nkoma akifafanua jambo mbele ya wanahabari
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), Profesa John Nkoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya mkutano wa 5 wa wadau wa mawasiliano Afrika wa utekelezaji na usimamizi wa mtumiaji wa simu kumwezesha kuhama na namba yake ya simu kwenda nayo mtandao mwingine.
Baadhi ya maofisa wa mamlaka hiyo wakiwa katika mkutano huo
Profesa Nkoma akifafanua jambo mbele ya wanahabari
Comments