RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MAKAO MAKUU MAPYA YA CCM DODOMA
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu wa Rais Dkt.
Mohamed Gharib Bilal,Rais wa Zanzibar,Dkt.Ali Mohamed Shein,Makamu wa
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Amana Abeid Karume pamoja na Makamu wa CCm
Bara Pius Msekwa wakifunua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la msingi
kuzindua ujenzi wa makao mapya ya CCM mjini Dodoma. (Picha na Freddy
Maro)
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa
mkutano Mkuu wa nane wa Chama cha Mapinduzi wakati alipokuwa akiingia
katika ukumbi wa Kizota mjini Dodoma
Baadhi ya wajumbe wamkutano mkuu wa nane wa CCM wakati wa ufunguzi wa mkutano huo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na
kiongozi wa chama cha upinzani cha TLP Augustine Lyatonga Mrema wakati
wa sherehe za ufunguzi wa mkutano mkuu wa nane wa CCM uliofanyika katika
ukumbi wa Kizota mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba
yake ya ufnugnuzi wakati wa mkutano Mkuu wa nane wa CCM katika ukumbi wa
Kizota mjini Dodoma jana.Kushoto ni Makamu wa CCM Zanzibar Mhe.Amani
Abeid Karume na kulia ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mhe.Pius Msekwa
Comments