TBL YAWA KINARA WA ULIPAJI KODI TANZANIA

 Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal  (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mlipakodi bora wa kwanza katika sekta ya uzalishaji viwandani, Mkurugenzi Mawasiliano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Steven Kilindo kwenye hafla ya sita ya Siku ya Mlipa Kodi, Dar es Salaam.
 Waziri wa Fedha, Dk.William Mngimwa (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Mawasiliano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo, cheti cha kutambua ushindi huo.
 Steve Kilindo akiondoka jukwaa kuu akiwa na tuzo za kampuni yake
 Steve Kilindo akiwa pamoja na wadau wenzie
 Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dk Bilali na viongozi wengine

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....