TBL YAWA KINARA WA ULIPAJI KODI TANZANIA

 Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal  (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mlipakodi bora wa kwanza katika sekta ya uzalishaji viwandani, Mkurugenzi Mawasiliano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Steven Kilindo kwenye hafla ya sita ya Siku ya Mlipa Kodi, Dar es Salaam.
 Waziri wa Fedha, Dk.William Mngimwa (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Mawasiliano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo, cheti cha kutambua ushindi huo.
 Steve Kilindo akiondoka jukwaa kuu akiwa na tuzo za kampuni yake
 Steve Kilindo akiwa pamoja na wadau wenzie
 Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dk Bilali na viongozi wengine

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI