TENGA USO KWA USO NA NDOLANGA UGANDA


UKHALI GANI SWAHIBA, TENGA AMPA 'HI' NDOLANGA NAMBOOLE

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Injinia Leodegar Chillah Tenga (kushoto) akisalimiana  na Mjumbe wa Heshima wa CECAFA, Alhaj Muhiddin Ahmad Ndolanga kulia kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda kabla ya mechi ya Kundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA Tusker Challenge kati ya Tanzania Bara na Sudan jioni hii.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA