TENGA USO KWA USO NA NDOLANGA UGANDA


UKHALI GANI SWAHIBA, TENGA AMPA 'HI' NDOLANGA NAMBOOLE

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Injinia Leodegar Chillah Tenga (kushoto) akisalimiana  na Mjumbe wa Heshima wa CECAFA, Alhaj Muhiddin Ahmad Ndolanga kulia kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda kabla ya mechi ya Kundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA Tusker Challenge kati ya Tanzania Bara na Sudan jioni hii.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.