WAZIRI WA FEDHA APOKEA TAARIFA YA KAZI KUTOKA PPRA

Kaimu Mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma Jaji Thomass Mihayo (kulia) akikabidhi taarifa ya utendaji ya mwaka 2011/2012 kwa Waziri wa Fedha na Uchumi Dk.William Mgimwa.

Waziri wa fedha na uchumi Dk.William Mgomwa akimpongeza mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi Umma Dk.Ramadhani Mlinga kwa uwasilishaji wa taarifa ya mwaka 2011/2012

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA