Yanga ya Dar es Salaam, imetoka suluhu ya 00 na timu ya Polisi katika mchezo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Simba nayo imetoka sare ya mabao 2-2 na Toto Afrika ya Mwanza katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza.
Katika Ligi hiyo ya Vodacom, Azami imeibuka kidedea kwa kuifunga Ruvu Stars katika mechi iliochewa mjini Kibaha, Pwani
Simba nayo imetoka sare ya mabao 2-2 na Toto Afrika ya Mwanza katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza.
Katika Ligi hiyo ya Vodacom, Azami imeibuka kidedea kwa kuifunga Ruvu Stars katika mechi iliochewa mjini Kibaha, Pwani
Comments