AZAM HUREE, SIMBA, YANGA ZAANGUKIA SARE

Yanga ya Dar es Salaam, imetoka suluhu ya 00 na timu ya Polisi katika mchezo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Simba nayo imetoka sare ya mabao 2-2 na Toto Afrika ya Mwanza katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza.

Katika Ligi hiyo ya Vodacom, Azami imeibuka kidedea kwa kuifunga Ruvu Stars katika mechi iliochewa mjini Kibaha, Pwani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI