BREAKIIIING NEWS, MAJAMBAZI YAMUUA KWA RISASI MHINDI NA KUPORA SH. MIL 100 DAR

MAJAMBAZI yamempiga risasi mfanyabiashara wa kihindi na kumuua papo hapo na kumpora sh. mil 100 eneo la Selander Bridge, Upanga Dar es Salaam jioni hii.

Kwa mujibu wa walioshuhudia sakata hilo, wanasema mtoto wa kike wa marehemu  pia alipigwa risasi ya paja, lakini akafanikiwa kuendesha gari lao huku akiwa na mwili wa marehemu babake hadi Hospitali ya Regency.

Hivi sasa msichana huyo shupavu, anaendelea na matibabu  katika hospitali hiyo.

Habari zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunazipata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.