MAJAMBAZI yamempiga risasi mfanyabiashara wa kihindi na kumuua papo hapo na kumpora sh. mil 100 eneo la Selander Bridge, Upanga Dar es Salaam jioni hii.
Kwa mujibu wa walioshuhudia sakata hilo, wanasema mtoto wa kike wa marehemu pia alipigwa risasi ya paja, lakini akafanikiwa kuendesha gari lao huku akiwa na mwili wa marehemu babake hadi Hospitali ya Regency.
Hivi sasa msichana huyo shupavu, anaendelea na matibabu katika hospitali hiyo.
Habari zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunazipata.
Kwa mujibu wa walioshuhudia sakata hilo, wanasema mtoto wa kike wa marehemu pia alipigwa risasi ya paja, lakini akafanikiwa kuendesha gari lao huku akiwa na mwili wa marehemu babake hadi Hospitali ya Regency.
Hivi sasa msichana huyo shupavu, anaendelea na matibabu katika hospitali hiyo.
Habari zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunazipata.
Comments