BREAKIIIING NEWS, MAJAMBAZI YAMUUA KWA RISASI MHINDI NA KUPORA SH. MIL 100 DAR

MAJAMBAZI yamempiga risasi mfanyabiashara wa kihindi na kumuua papo hapo na kumpora sh. mil 100 eneo la Selander Bridge, Upanga Dar es Salaam jioni hii.

Kwa mujibu wa walioshuhudia sakata hilo, wanasema mtoto wa kike wa marehemu  pia alipigwa risasi ya paja, lakini akafanikiwa kuendesha gari lao huku akiwa na mwili wa marehemu babake hadi Hospitali ya Regency.

Hivi sasa msichana huyo shupavu, anaendelea na matibabu  katika hospitali hiyo.

Habari zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunazipata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️