ZIARA YA MAKAMO MWENYEKITI WA (CCM) DK.ALI MOHAMED SHEIN WILAYA KATI UNGUJA

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akivalishwa shada la mauwa na kijana Chipukizi wa CCM Cleopatra  Saidi Omarn wa Dunga Wilaya ya kati alipoanza ziara ya Chama cha Mapinduzi katika wilaya hiyo leo.[Picha na Ramadhan

Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akisalimiana na Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini
Unguja.alipowasili Dunga Ofisi Kuu ya Cahama Wilaya ya kati akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja
leo.

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akipokea Taarifa ya kazi za Chama Wilaya ya kati Unguja kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya Zainab Shomari,alipowasili Ofisi Kuu ya Chama Wilaya Unguja huko Dunga alipoanza ziara ya kuimarisha Chama cha CCM katika Mkoa wa Kusini Unguja leo.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi jengo la Afisi ya CCM Wadi ya Jumbi,Jimbo la Koani Wilaya ya kati Unguja katika ziara za
kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

 Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi Mwanachama mpya wa CCM Zawadi Ibrahim,katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la msingi,  jengo la Afisi ya CCM Wadi ya Jumbi,Jimbo la Koani Wilaya ya Kati Unguja katika ziara za kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

 Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi Mwanachama mpya wa CCM Uledi Maulid,katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la msingi,  jengo la Afisi ya CCM Wadi ya Jumbi,Jimbo la Koani Wilaya ya Kati Unguja katika ziara za kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

  Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi na Jumuiya zake wakila kiapo cha Utii baada ya kukabidhiwa kadi zao na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,Jimbo la Koani Wilaya ya Kati Unguja katika ziara za kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

 Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pamoja na viongozi wengine wakisikiliza Risala ya wanachama Tawi nla Mchangani,iliyosomwa na Katibu Mwenezi Salum Hussein Khamis, baada ya kuweka jiwe la msingi akiwa  katika ziara za kuimarisha Chama Cha
Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Boxi lenye bomba la Kumwagilia dawa Mkulima Docta Kisinja Lubasha,katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la msingi,  Tawi la CCM Mchangani Jimbo la Uzini,Wilaya ya Kati katika ziara za kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.