BREAKIIING NEWSSSS. MTWARA KWATIBUKA TENA

Hali ni tete katika Mkoa wa Mtwara baada ya kuzuka vurugu kubwa zinazoendelea hadisasa ambapo imeripotiwa kuwa askari polisi zaidi ya watatu wameuawa huku gari la polisi la maji ya kuwasha, ofisi ya CCM zachomwa moto wakati shule ,hospitali na soko zaharibiwa . Mbali na mali hizo pia daraja la Mikindani limevujwa na kwa sasa polisi wanatumia risasi za moto kupambana na wananchi wanaofanya Vurugu hizo ambazo chanzo ni Sakata la Gesi. Habari zaidi na picha zinakujia hivi punde

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*