VODACO,VODAFONE YAFADHILI FISTULA

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza mara baada ya kumalizika kwa hafla kuadhimisha siku ya fistula diniani iliyofanyika katika Hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Erwin Teleman. Hafla hiyo ilifadhiliwa na Vodacom na Vodafome ya Uingereza ambao pia hufadhili matibabu ya fistula kwa wanawake wenye tatizo hilo nchini. (NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda