VODACO,VODAFONE YAFADHILI FISTULA

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza mara baada ya kumalizika kwa hafla kuadhimisha siku ya fistula diniani iliyofanyika katika Hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Erwin Teleman. Hafla hiyo ilifadhiliwa na Vodacom na Vodafome ya Uingereza ambao pia hufadhili matibabu ya fistula kwa wanawake wenye tatizo hilo nchini. (NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.