ZIARA YA WAZIRI MKUU WA THAILAND NCHINI

 Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra akikagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili yake, akiongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davies Mwamunyange (kushoto), alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo.PICHA NA KASSIM MBAROUK)
JK akiongoza na mgeni wake baada ya kumlaki
Waziri Mkuu wa Thailand na Rais Jakaya Kikwete wakiangalia ngoma za utamaduni
Akina mama wakiwa wamejipanga huku wakiwa na bendera za taifa za Tanzania na Thailand wakati wa mapokezi Ikulu, Dar es Salaam.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
JK akiwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Thailand wakiingia Ikulu
JK wa pili kulia akiwa na ujumbe wake katika mkutano na Waziri Mkuu wa Thailand na ujumbe wake Ikulu, Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi 9kulia) akibadilishana hati na Mkurugenzi wa Taasisi ya Madini ya Thailand, baada ya kutiliana mkataba wa makubaliao ya ushirikiano katika masuala ya ufundi katika sekta ya madini.
JK akimtambulisha mgeni kwa maofisa wa Ulinzi na Ulasma nchini.
JkK akitambulishwa ka Waziri Mkuu wa Thailand kwa maofisa wa nchi yake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.