WAJUMBE WA BARA WAENDA ZANZIBAR KWENYE BARAZA KUU YA UVCCM TAIFA

 Baadhi ya wajumbe wakiwa Makao Makuu ya UVCCM, jijini Dar es Salaam, tayari kwa safari ya kwenda Zanzibar kwenye kikao cha Baraza Kuu ya Jumuia hiyo, kitakachofanyika kesho.
 Wajumbe wakiwa nje za jengo la Umoja wa Vijana wa CCM, mjini Dar es Salaam, kabla ya kuanza safari yao kwenda Zanzibar
 Baadhi ya wajumbe wakiwa Ofisi za UVCCM mjiniu Dar es Salaam, kabla ya kuondoka kwenda Zanzibar kwenye kikao hicho.
 Wajumbe wakiwa kwenye ofisi ya UVCCM makao makuu
Baadhi ya wajumbe wakipanda mabasi kutoka makao makuu ya UVCCM kwenda Bandarini kubanda boti kwenda Zanzibar kwenye kikao hicho cha Baraza Kuu la UVCCM leo
Baadhi ya wajumbe wakiwa bandari ya Dar es Salaam, kupanda boti
Wajumbe wakiwa kwenye boti mjini Dar es Salaam, tayari kwa safari ya Zanzibar
Wajumbe wakiwa kwenye boti yatari kwa safari ya Zanzibar. Imetayarishwa na theNkoromo Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI