Taswira
za askari wa jadi wa jimbo la Tyrol huko Alpbach nchini Austia
wakiingia kwa gwaride rasmi lililoandaliwa kwa heshima ya Rais Jakaya
Kikwete aliye katika mkutano wa Kamisheni ya Ulaya mjini humo. Historia
ya askari hawa, wanaojulikana kama Schuetzenkompanie, inakwenda miaka ya
1810 wakati wa vita na watu wa Bavaria. Soma historia yao BOFYA HAPA
Sungusungu hao wakiendelea kuwasili
Kila mmoja ana gobole lililotengenezwa kienyeji
Watoto kwa wakubwa wamevutiwa na Sungusungu hao
Gwaride rasmi
Mdau
anajiunga na Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Austria Mhe Heinz Fischer
(katikati), Rais wa Kamisheni ya Ulaya Mhe Jose Manuel Barroso (wa pili
kushoto), Rais wa Mkutano wa Alpbach Dr Franz Fischer (kushoto) pamoja
na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia)
akifuatiwa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Profesa
Rwekaza Mukandala
Comments