Dar
es salaam Tanzani Matoke ya Darasa la Saba yametangazwa hivi punde hivi
punde na mwaka huu ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 30.72 mwaka jana
mbaka asilimia 50.61 mwaka huu kutokana na wanafunzi walio fanya mtihani
mwaka huu wa darasa la saba wamefaulu zaidi ukilinganisha na wanafunzi
wa mwaka jana Kaimu mtendaji wa Baraza la Mtihani Charles Msonda amesema
ufauru katika masomo yote umepanda kwa asilimia kati ya 6.01 na 28.06
ukilinganisha na mwaka 2012 Mwaka huu watainiwa wamefahulu zaidi katika
somo la Kiswahilin kwa asilimia 69.06 na somo walilio faulu kwa kiwango
kidogo zaidi ni somo la Hisabati wamefaulu kwa asilimia 28.62 Msonda
amesema jumla ya watahiniwa 427,606 kati ya 844,938 walio fanya mtihani
huo wamepata alama ya 100 kati ya alama ya 250 idadi hiyo nisawa na
asilimia 50.61
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments