Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Ernest Mangu (kushoto), Naibu Mkuu wa Jeshi hilo, Abdulrahman Kaniki (kulia) wakati wa hafla ya kuwaapisha makamanda hao wapya, Ikulu, Dar es Salaam leo. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimwapisha Kamishna Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam
JK akimwapisha Kamishna Abdulrahman Kaniki kuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
JK AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAKAMANDA HAO WAPYA WA JESHI LA POLISI NCHINI NA MAKAMU WA RAIS, DK MOHAMED BILAL NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, PEREIRA AME SILIMA (WA PILI KULIA) NA KATIBU MKUU KIONGOZI ,OMENI SEFUE (KULIA)
Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Ernest Mangu (kushoto), Naibu Mkuu wa Jeshi hilo, Abdulrahman Kaniki (kulia) pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu, IGP, Said Mwema wakati wa hafla ya kuwaapisha makamanda hao wapya, Ikulu, Dar es Salaam
JK akiwa na IGP Mangu (kushoto) IGP mstaafu Said Mwem
JK akiwa na IGP Mangu
JK akiwa na IGP Mangu pamoja na familia ya kamanda huyo mpya
JK akiwa na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi, Kamishna Kaniki
JK akiwa na familia ya Kamishna Kaniki
JK akiwa na makamanda hao wapya pamoja na makamishna wa jeshi hilo
JK akiwa na viongozi wa jeshi hilo pamoja na makamnda hao wapya
JK akiwa na familia ya IGP mstaafu, Said Mwema
IGP Mstaafu Said Mwema akiagana na Rais Jakaya Kikwete
IGP Mangu akizungumza na wanahabari
JKakizungumza na makamanda hao
IGP Mangu akipongezwaa makamanda wa jeshi hilo
IGP mpya Mangu akipanda gari lake la ua IGP
IGP akiondoka kwa gari hilo
Naibu IGP, Kaniki akipanda kwenye gari tayari kuondoka Ikulu, baada y kuapishwa
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimwapisha Kamishna Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam
JK akimwapisha Kamishna Abdulrahman Kaniki kuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
JK AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAKAMANDA HAO WAPYA WA JESHI LA POLISI NCHINI NA MAKAMU WA RAIS, DK MOHAMED BILAL NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, PEREIRA AME SILIMA (WA PILI KULIA) NA KATIBU MKUU KIONGOZI ,OMENI SEFUE (KULIA)
Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Ernest Mangu (kushoto), Naibu Mkuu wa Jeshi hilo, Abdulrahman Kaniki (kulia) pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu, IGP, Said Mwema wakati wa hafla ya kuwaapisha makamanda hao wapya, Ikulu, Dar es Salaam
JK akiwa na IGP Mangu (kushoto) IGP mstaafu Said Mwem
JK akiwa na IGP Mangu
JK akiwa na IGP Mangu pamoja na familia ya kamanda huyo mpya
JK akiwa na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi, Kamishna Kaniki
JK akiwa na familia ya Kamishna Kaniki
JK akiwa na makamanda hao wapya pamoja na makamishna wa jeshi hilo
JK akiwa na viongozi wa jeshi hilo pamoja na makamnda hao wapya
JK akiwa na familia ya IGP mstaafu, Said Mwema
IGP Mstaafu Said Mwema akiagana na Rais Jakaya Kikwete
IGP Mangu akizungumza na wanahabari
JKakizungumza na makamanda hao
IGP Mangu akipongezwaa makamanda wa jeshi hilo
IGP mpya Mangu akipanda gari lake la ua IGP
IGP akiondoka kwa gari hilo
Naibu IGP, Kaniki akipanda kwenye gari tayari kuondoka Ikulu, baada y kuapishwa
Comments