WANAWAKE WAFANYAKAZI WA NBC WAZINDUA MTANDAO UTAKAOJUMUISHA WATEJA WANAWAKE

WANAWAKE WAFANYAKAZI WA NBC WAZINDUA MTANDAO UTAKAOJUMUISHA WATEJA WANAWAKE

01Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Bi. Mizinga Melu (katikati) na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Grace Rubambey (kushoto) na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wafanyakazi Wanawake wa NBC, Cynthia Ponera wakibonyeza kitufe jijini Dar es Salaam ili kuzindua kwa mara ya pili Mtandao wa Jukwaa la Wanawake Wafanyakazi wa NBC utakaojumuisha pia wateja wanawake.02 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Bi. Mizinga Melu (kulia) akimwekea  kinywaji  Mwenyekiti wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Grace Rubambey (kushoto) katika hafla ya uzinduzi wa mara ya pili wa Mtandao wa Jukwaa la Wanawake Wafanyakazi wa NBC utakaojumuisha pia wateja wanawake. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hispitali ya Taifa Muhimbilki, Dk Marina  Njelekela.03Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Bi. Mizinga Melu (kulia) akibadilishsna mawazo na  Mwenyekiti wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Grace Rubambey (katikati) katika hafla ya uzinduzi wa mara ya pili wa Mtandao wa Jukwaa la Wanawake Wafanyakazi wa NBC utakaojumuisha pia wateja wanawake. Kushoto ni Meneja Masoko wa NCB, Alina Maria Kimaryo.04Mwenyekiti wa Mtandao wa Jukwaa la Wanawake Wafanyakazi wa NBC, Cynthia Ponera (wa pili kulia) akizungumza na baadhi wa wateja wanawake wa benki hiyo waliohudhuria uzinduzi huo.05Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu (wa tano kulia) akipiga picha na baadhi ya wafanyakazi wa kitengo cha Huduma Binafsi za Kibenki kwa Wateja Wakubwa katika jengo la Coco Plaza jijini Dar es Salaam baada ya uzinduzi huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA