Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda amewaasa maafisa jenerali 17 Wastaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kuacha kuhangaika na mambo ya siasa na mengineyo, bali watulie waishi vizuri na familia zao.
Pamoja na mambo mengine Jenerali Mkunda ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuwaaga maafisa Jenerali hao katika Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa Kikombo jijini Dodoma Julai 10, 2026.
Magari maalumu yaliyobeba maafisa jenerali 17 wastaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), yakisukumwa katika hafla ya kuwaaga iliyoongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda katika Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa Kikombo jijini Dodoma Julai 10, 2026.
Jenerali Mkunda (aliyekaa mbele katikati pamoja na viongozi wengine) wakiwa katika picha ya kumbukumbu na maafisa jenerali wastaafu walioagwa.

Jenerali Mkunda (aliyekaa mbele katikati pamoja na viongozi wengine) wakiwa katika picha ya kumbukumbu na maafisa jenerali wastaafu walioagwa.
Askari wakiwa wamejipanga tayari kupita katikati magari maalumu yaliyowabeba maafisa Jrnrrali wastaafu.




Comments