MAKAMU MWENYEKITI WA CCM PHILIP MANGULA AWASILI MKOANI MBEYA

1Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya na Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh. Godfrey Zambi mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya tayari kwa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM zinazofanyika jumapili kwenye uwanja wa Sokoine mkoani humo, Katika sherehe hizo Mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Rais Dr. Jakaya Kikwete. PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYA 2Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi. Siasa na Uenezi wakati alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Mbeya leo katikati ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya na Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh. Godfrey Zambi 3Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Abdallah Bulembo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa. 4Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Mbeya. 6Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akiongozana na Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya na Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh. Godfrey Zambi kushoto na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi. Siasa na Uenezi IMG_2076Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangulaakisaini kitabu cha wageni

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI