Waziri
wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akipokea Ripoti zilizofanyiwa
kazi na Tume kutoka kwa Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso
(Picha zote na Munir Shemweta Ofisa Habari wa Tume)
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro (kushoto) akipokea maua kutoka kwa Afisa Tawala wa Tume Bi. Suzan Magoti Mh. Migiro akisalimiana na Mwandishi Mkuu wa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Caritas Mushi Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa Tume Kikao cha pamoja baina ya Mhe Waziri wa Katiba na Sheria na Uongozi wa Tume Mwenyekiti
wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanazania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi
akimpokea WazIri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro alipotembelea
ofisi za Tume Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza wakati Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Asha Rose alipoitembelea Tume Washiriki wa Kikao
Katibu
Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso akiwasilisha taarifa fupi ya Tume
kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro
Comments