PICHA KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO: KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA WATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Katibu
Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango akizungumza wakati
wa Ziara hiyo.
Manaibu
Katibu Watendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakifuatilia kwa makini
michango iliyokuwa ikitolewa na wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala.
Wajumbe
wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala walipotembelea Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango kukagua utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu.
Mwenyekiti
wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Mhe. William Mganga Ngeleja akizungumza
na watendaji na menejimenti ya Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakati Kamati
yake walipotembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango kukagua utekelezaji wa Sera
ya Taifa ya Idadi ya Watu.Picha
na Thomas Nyindo, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
Comments