Hizi ni Changamoto tu za wakati wa kampeni kata ya Mandera
Kata ya Pera.
Kata ya Bwilingu
Kata ya Lugoba
Mkoa wa Vyuo Vikuu bega kwa bega katika kufanikisha ushindi kwa CCM Chalinze
Kila mwenye uwezo wa kucheza alicheza siku ya ufunguzi wa kampeni.
CCM
kushinda Chalinze kwa aina yake ya Kampeni ya kistaarabu. Mgombea wake
aonekana kuyajua matatizo ya wananchi vizuri na majibu ya matatizo yao.
Ridhiwani
ajinadi kwa sera safi za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya
CCM. Tangia ameanza Kampeni hajawahi hata siku moja kuzungumzia
upinzani, ametumia muda mwingi kuzungumzia maendeleo ya Jimbo la
Chalinze. Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuiya zake waja kumuunga mkono
Chalinze. Tofauti na wagombea wa Vyama vingine Ridhiwani ameweza kufika
kila kata ,kijiji kwa kijiji kitongoji kwa kitongoji.
Comments