DROO YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI YACHEZESHWA KIAINA YAKE JIJINI DAR.

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa droo ya tano ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti ilyofanyika jana katika Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa kwanza wa tiketi ya kwenda Brazili aliyepatikana wiki  iliyopita, Deusdedit Kahwa akielezea furaha yake kwa wana habari katika droo ya tano ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti iliyofanyika jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo.
  Mshindi wa kwanza wa tiketi ya kwenda Brazili Deusdedit Kahwa akibonyeza kitufe kuchezesha droo ya tano ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA