Picha Kutoka IKULU Zanzibar:Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Akutana na Ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za Jumuiya ya Ulaya nchini IKULU Mjini Zanzibar
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiongozana na Kiongozi wa Ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za Jumuiya ya
Ulaya nchini Filiberto CERIANI SEBREGONDI,baada ya mazungumzo yao
Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi kwa mazungumzo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Kiongozi wa Ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za Jumuiya ya
Ulaya nchini Filiberto CERIANI SEBREGONDI, walipofika Ikulu Mjini
Zanzibar leo asubuhi kwa mazungumzo.
Comments