WINDHOEK WAFANYA KWELI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA BONGO MOVIE KATIKA UKUMBI WA EAST 24 MWISHONI MWA WIKI
Mwenyekiti
wa Makampuni yaliyo chini ya Proin Group Of Companies, Bw Johnson
Lukaza akipokea cheti cha kuthaminiwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bongo
Movie kama mmoja wa wamiliki wa kampuni ya usambazaji wa kazi za filamu
nchini iitwayo Proin Promotions Limited.
Mtitu akipokea Cheti kutoka Kwa Mwenyekiti.
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila akiongea na
waandishi wa habari wakati wa sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa
wiki katika Ukumbi wa East 24 uliopo Mikocheni katika jengo la Arcade.
First lady wa B Band inayoongozwa na Mwanamuziki Banana Zoro
Wadau wakifuatilia burudani safi kutoka kwa wasanii mbalimbali waliopanda kwenye jukwaa
Warembo wa Bongo Movie wakiingia ukumbi tayari kwa Kufurahia Miaka 3 ya Kuzaliwa kwa Bongo Movie.
Mwenyekiti
wa Bongo Movie akitoa maneno kwa wageni waalikwa pamoja na wasanii wa
bongo movie na muziki nchini waliohudhuria sherehe hiyo iliyofanyika
mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa East 24.
Keki ikikatwa kama ishara ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bongo Movie ikiwa imetimiza miaka 3
Rich Rich akilishwa keki na Mwenyekiti.
Comments