MUIGIZAJI WA FILAMU YA TITANIC YUPO BRAZILI NA MELI YA KIFAHARI

Dunia yote imeangazia mashindano ya fainali za kombe la dunia na kila mwenye muda na uwezo amefika Brazil kuhakikisha anaangalia kwa moja kwa moja mashindano hayo.
Mastaa kibao wametua Brazil kwa mitindo tofauti lakini muigizaji wa Titanic Leoonardo DiCaprio ametia fora baada ya kuingia nchini humo akiwa na meli kubwa ya kifahari aliyokodi kwa safari hiyo, meli hiyo inamilikiwa na mmiliki wa Manchester City, Mansour bin Zayed Al Nahyan.
Meli hiyo imetajwa kuwa na Swimming pool, chumba kikubwa cha mazoezi, jumba la sinema na ukumbi mkubwa wa mikutano ukiacha mbali vyumba vya kulalala na sehemu nyingine.
Muigizaji huyo amewachukua marafiki zake 21 na wanakula nao maisha katika safari hiyo huku wakishuhudia mechi kadhaa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE