Hospitali ya IMTU iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imefungiwa kufanya kazi zake kutokana na makosa mbalimbali ya kiutalaam lakini kubwa ni kukosa wafanyakazi wa kutosha na kutoa huduma bila ya kuwa na vifaa stahiki huku wakitumia madawa ambayo yamepitwa na muda wake.


WAKATI bado kukiwa na sinto fahamu juu ya hatma ya Chuo cha Sayansi ya Tiba cha IMTU ambacho kinakabiliwa na tuhuma ya kuhusika na utupaji wa viungo vya Binadamu vilivyokuwa vikitumika katika mafunzo chuoni hapo hivi karibuni Hospitali yake ya IMTU imefungiwa.

Hospitali ya IMTU iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imefungiwa kufanya kazi zake kutokana na makosa mbalimbali ya kiutalaam lakini kubwa ni kukosa wafanyakazi wa kutosha na kutoa huduma bila ya kuwa na vifaa stahiki huku wakitumia madawa ambayo yamepitwa na muda wake.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya kufanyika kwa ukaguzi Hospitalini hapo na vyanzo vinapasha hilo halina uhusiano na upande wa Chuo cha IMTU ambao unatuhumiwa kutupa viungo vya binadamu vuilivyokuwa vikitumiwa katika mafunzo chuoni hapo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA