VIGOGO WANNE WA WA VIUNGO VYA BINADAMU IMTU WAPANDISHWA KORTINI DAR






 Hapa baadhi ya vigogo hao wakiwa ndani ya gari la polisi.
 Maofisa wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam leo, baada ya kusomewa mashitaka ya kushindwa kuizika kwa heshima miili ya binadamu na kuonesha cheti kinachodhibitisha uzikaji wa miili hiyo.  Baada ya kusomewa mashitaka yao  waliachiwa kwa dhamana na kukamatwa tena.


 Hapa wakisindikizwa na askari polisi kwenda kupanda gari kurudishwa mahabusu ya Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati.
Mmoja wa watuhumiwa hao akimsaidia mwenzake kupanda katika gari la polisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.