VIGOGO WANNE WA WA VIUNGO VYA BINADAMU IMTU WAPANDISHWA KORTINI DAR






 Hapa baadhi ya vigogo hao wakiwa ndani ya gari la polisi.
 Maofisa wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam leo, baada ya kusomewa mashitaka ya kushindwa kuizika kwa heshima miili ya binadamu na kuonesha cheti kinachodhibitisha uzikaji wa miili hiyo.  Baada ya kusomewa mashitaka yao  waliachiwa kwa dhamana na kukamatwa tena.


 Hapa wakisindikizwa na askari polisi kwenda kupanda gari kurudishwa mahabusu ya Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati.
Mmoja wa watuhumiwa hao akimsaidia mwenzake kupanda katika gari la polisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.