HII NDO KUFURU YA BILIONEA MAARUFU HAPA AFRIKA ALIYO FANYA KATIKA GRADUATION YA MTOTO WAKE HUKO UINGEREZA


 

Bilionare maarfu kutoka hapa Africa ajulikanaye kwa jina la Femi Otedola kutoka Nigeria amefanya kufuru kwenye graduation ya mwanaye ajulikanaye kama Dj Cupppy ambapo Thamani ya pesa aliyotumia ni sawa na kiasi cha kuwasomesha watoto watano kutoka Kindergarten mpaka Elimu ya chuo kikuu sasa kama hii ni graduation Ndoa yake itakuwaje,Binti huyu alikuwa akisoma chuo cha Kings’ College kule London ambapo ameachia album yake mpya ijulikanayo kwa jina la  House of Cuppy picha zingine hizi hapa 































Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA