ROJO SASA RASMI NDANI YA MANCHESTER UNITED, AKABIDHIWA JEZI YA RIO



Rasmi beki Marcos Rojo ametua Manchester United kwa kitita cha pauni milioni 16 akitokea Sporting Lisbon.
Beki huyo ametua Manchester na kukabidhiwa jezi namba 5 ambayo mara ya mwisho ilikuwa inavaliwa na beki nguli, Rio Ferdinand ambaye sasa ametua QPR.
Rojo, 24, raia wa Argentina amekuwa ni chaguo la kwanza la kocha Louis van Gaal ambaye anataka kuimarisha safu ya ulinzi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI