1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam. Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kumtakia heri kwenye majukumu hayo mapya, Mzee Makamba amemzawadia Balozi Dk. Nchimbi shati moja la sare ya Chama Cha Mapinduzi, ikiwa ni ishara ya kifaa cha kazi, ambapo Katibu Mkuu huyo wa CCM, alipokea pongezi na kumshukuru kwa zawadi hiyo. *****####*****
KILA GOLI MILIONI 1 📝📝📝 Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans Stephane Aziz Ki katoa Ahadi "Mchezaji yeyote atakae Funga Goli dhidi Mamelod Sundowns atapatiwa kiasi cha MILION 1 kutoka kwake. Pia kasema kwa upande wa Mabeki wakizuia vizuri bila kuruhusu goli watapatiwa MILION 1..! Sio Game ya Viongozi tu hata wachezaji wenyewe wanaitaji Mechi..!✅ Amesema Ally Kamwe Msemaji Wa Yanga #travellerwayanga #yangascupdates
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akihutubia wananchi waliomsimamisha wakiongozwa na Mbunge la Kwela, Deus Sangu katika Kijiji cha Chombe, mkoani Rukwa wakimuomba azipatie ufumbuzi kero zao za ukarabati wa shule, Kituo cha Afya n, miundombinu ya barabara na wakulima kupewa kibali cha kuuza mahindi yao nchi ya za jirani. Nchimbi ambaye msafara wake ulikuwa unatokea Sumbawanga Mjini kwenda Songwe,baada ya kusikiliza kilio chao hicho, aliwaagiza mawaziri wanaohusika na kero hizo kufanya jitihada za kuzipatia ufumbuzi ikiwemo Wizara ya Kilimo kutoa vibali vya kuuza mahindi katika nchi jirani na kuwaahidi kuwa mahindi hayo yatanunuliwa na serikali. Aliwasihi wakipewa vibali wasiuze mahindi yote wabakize kwa ajili ya chakula. Dkt. Nchimbi ambaye ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu ameanza ziara ya kikazi ya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi tayari kuanza ziara ya kikazi katika mikoa 6 nchini. Atafanya ziara katika mikoa mingine ya Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma ambapo ataimarisha uhai wa chama, kutembelea mabalozi pamoja na kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla akisalimiana na makada pamoja na wananchi. Balozi Dk. Nchimbi akisalimiana na wananchi baada ya kuwasili Mpanda. Dk. Nchimbi akisalimiana na viongozi na makada wa CCM. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 0754264203
Comments