KOCHA MPYA SIMBA ATUA DAR, AKATAA KUIZUNGUMZIA YANGA



Kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic ametua jijini Dar es Salaam, tayari kuanza mazungumzo na uongozi wa Simba.

Lakini Kuponovic amekataa katakata kuizungumzia Yanga na kusema akili yake ni Msimbazi.

"Siwezi kuizungumzia Yanga, najua mambo ya upinzani yapo lakini kwa sasa naelekeza nguvu zangu katika mechi ya kwanza.

"Kama nitasaini na Simba, basi nitaangalia nitafanya nini katika mechi ya kwanza," alisema Kopunovic raia wa Serbia mara tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA