NAPE AANZA ZIARA KWENYE VYOMBO VYA HABARI



  Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali,  Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki ( wa pili kutoka kushoto) akielezea masuala mbali mbali yanayohusu tasinia ya habari wakati wa mkutano na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye uliofanyika kwenye ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali,Tazara jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza wakati wa kikao chake na Viongozi na waandishi wa Magazeti ya Serikali alipowatebelea leo ikiwa sehemu ya utaratibu wake wa kutembelea vyombo vya habari.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na wahariri wa Magazeti ya Serikali.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali,  Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki akizungumza na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimina na Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania kwenye ofisi za magazeti hayo mtaa wa Mwinyijuma,Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akionyeshwa sehemu ya waandishi wanapoandaa habari na Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na baadhi ya viongozi na wahariri wa gazeti la Raia Tanzania na Raia Mwema.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na wahariri wa gazeti la Raia Mwema na Raia Tanzania.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI