Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muuangano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC,
Clement Kiondo, wakati alipofika na ujumbe wake Ofisini kwa Makamu wa
Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 2, 2015 kwa mazungumzo. Picha
na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya Kombe kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji
la Taifa, TBC, Clement Mshana, ikiwa ni sehemu ya shukrani kutoka Kituo
cha kuelelea watoto waishio katika mazingira magumu kilichopo
Kigamboni, kinachosimamiwa na TBC. Mshana alifika na ujumbe wake Ofisini
kwa Makamu Ikulu jijini Dar esSalaam, leo kwa ajili ya mazungumzo na
kumkabidhi zawadi hizo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya Saa ya ukutani kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la
Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Mshana, ikiwa ni sehemu ya shukrani
baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini Kwa Makamu, Ikulu jijini
Dar es Salaam, leo Juni 2, 2015. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya Khanga zenye Nembo ya TBC na zinazotangaza Utalii wa
ndani kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC,
Clement Mshana, ikiwa ni sehemu ya shukrani baada ya mazungumzo yao
yaliyofanyika Ofisini Kwa Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni
2, 2015. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya Tisheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la
Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Mshana, ikiwa ni sehemu ya shukrani
baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini Kwa Makamu, Ikulu jijini
Dar es Salaam, leo Juni 2, 2015. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, Clement
Mshana, wakiwa katika picha ya pamoja ya kumbukumbi na baadhi ya
wafanyakazi wa Kituo cha kulelea Watoto waishio katika mazingira magumu,
kilichopo Kigamboni baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini
Dar es Salaam. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib BIlal,
akiagana na wajumbe walioongozana na Mkurugenzi wa Shirika la
Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Kiondo, Omar Rajab (kushoto) na Maico
Rugendo, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es
Salaam, leo. Picha na OMR
Comments