Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willibroad Slaa
akiwa kwenye gari katika msafara wa mapokezi kwa ajili ya mkutano wa
hadhara wa kuwatambulisha Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Mbunge wa
Viti Maalumu, Ester Bulaya waliohamia Chadema wakitokea CCM jana jijini
Mwanza.
Msafara ukiendelea kuelekea uwanjani sasa
Comments