UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE-MOROCCO DAR WAANZA

 Mafundi wakiendelea na upanuzi wa Barabara ya Mwenge-Morocco jijini Dar es Salaam leo, ikiwa ni sehemu agizo la Rais Dk. John Magufuli, ambaye alielekeza fedha za maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 9, mwaka huu, zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo yenye urefu wa Km 4.3.(NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE