Wadau wapenzi wa Blog hii nawaomba samahani kwa kutokuwa hewani kwa sababu ya kutii sheria za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwamba haturuhiwi kupublish maudhui hadi nitakaposajiri.
Samahani kwa usumbufu mlioupata na mnaoendelea kuupata kwa kukosa habari za motomoto na uhondo kibao uliokuwa unatolewa kwenye mtandao huu.
Nipo mbioni kuhakikisha Blog hii inarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Mtaendelea kupata habari kupitia kwenye akaunti yangu ya Facebook, Twitter na Instragram kwa jina la Richard Mwaikenda.
Wenu katika kazi
Mmiliki wa Blog hii
Richard Mwaikenda
Samahani kwa usumbufu mlioupata na mnaoendelea kuupata kwa kukosa habari za motomoto na uhondo kibao uliokuwa unatolewa kwenye mtandao huu.
Nipo mbioni kuhakikisha Blog hii inarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Mtaendelea kupata habari kupitia kwenye akaunti yangu ya Facebook, Twitter na Instragram kwa jina la Richard Mwaikenda.
Wenu katika kazi
Mmiliki wa Blog hii
Richard Mwaikenda
Comments