KUMRADHI WASOMAJI KWA KUISITISHA KWA MUDA BLOG HII

Wadau wapenzi wa Blog hii nawaomba samahani kwa kutokuwa hewani kwa sababu ya kutii sheria za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwamba haturuhiwi kupublish maudhui hadi nitakaposajiri.

Samahani kwa usumbufu mlioupata na mnaoendelea kuupata kwa kukosa habari za motomoto na uhondo kibao uliokuwa unatolewa kwenye mtandao huu.

Nipo mbioni kuhakikisha Blog hii inarudi kwenye hali yake ya kawaida.

Mtaendelea kupata habari kupitia kwenye akaunti yangu ya Facebook, Twitter na Instragram kwa jina la Richard Mwaikenda.

Wenu katika kazi

Mmiliki wa Blog hii

Richard Mwaikenda

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA