BUTONDO:TUNAOMBA AMBULANCE IKASAIDIE TARAFA YA MONDO KISHAPU+video

 Mbunge wa Kishapu, Boniface Butondo ameiomba serikali kufanya jitihada ya kupeleka gari la wagonjwa (Ambulance) katika Kituo cha Afya kilichopo Tarafa ya Mondo wilayani Kishapu.

Butondo ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma leo Juni 9, 2022 na kujibiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt Festo Ndugange....

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akipambania ambulance hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI