LAAC: AFISA MANUNUZI KUTOKA SUMBAWANGA AOKOA JAHAZI BAADA YA MAAFISA WATATU KUFARIKI TUNDUMA+video


 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC), Seleman Zedi akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Septemba 8, 2022, ambapo kwa niaba ya Kamati hiyo imempongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Halmashairi ya Mji wa Tunduma, Songwe, kwa kufanya jitihada za kumwajiri Afisa Manunuzi (Ugavi) kutoka Sumbawanga baada ya muda mrefu nafasi hiyo kukosa mtaalamu wa sekta hiyo kutokana na vifo vya mfululizo vya maafisa ugavi watatu, lakini tangu afisa huyo ashike madaraka mambo yanakwenda vizuri.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Seleman Zedi pamoja na mambo mengine akitoa pongezi hizo kwa niaba ya kamati ya LAAC....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI