MAGESSA: AIBANA SERIKALI BUNGENI UKARABATI VITUO VYA AFYA CHIKOBE NA BUKOLI BUSANDA+video
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Serikali imetenga sh. milioni 500 kwa ajili ya kukarabati kituo cha afya Chikobe na sh. mil. 400 Kituo cha Afya Bukoli katika Jimbo la Busanda wilayani Geita.
Kiasi hicho cha fedha kimetajwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dkt Festo Dugange baada ya kuulizwa swali na Mbunge wa jimbo hilo, Tumaini Magessa kwamba ni lini serikali itaanza kukarabati vituo hivyo.
Swali lake hilo liliulizwa kwa niaba yake na Mbunge wa Geita Mjini, Costantine Kanyasu bungeni Dodoma Septemba 21, 2022.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Dugange akijibu swali hilo...
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akihutubia wananchi waliomsimamisha wakiongozwa na Mbunge la Kwela, Deus Sangu katika Kijiji cha Chombe, mkoani Rukwa wakimuomba azipatie ufumbuzi kero zao za ukarabati wa shule, Kituo cha Afya n, miundombinu ya barabara na wakulima kupewa kibali cha kuuza mahindi yao nchi ya za jirani. Nchimbi ambaye msafara wake ulikuwa unatokea Sumbawanga Mjini kwenda Songwe,baada ya kusikiliza kilio chao hicho, aliwaagiza mawaziri wanaohusika na kero hizo kufanya jitihada za kuzipatia ufumbuzi ikiwemo Wizara ya Kilimo kutoa vibali vya kuuza mahindi katika nchi jirani na kuwaahidi kuwa mahindi hayo yatanunuliwa na serikali. Aliwasihi wakipewa vibali wasiuze mahindi yote wabakize kwa ajili ya chakula. Dkt. Nchimbi ambaye ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu ameanza ziara ya kikazi ya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi tayari kuanza ziara ya kikazi katika mikoa 6 nchini. Atafanya ziara katika mikoa mingine ya Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma ambapo ataimarisha uhai wa chama, kutembelea mabalozi pamoja na kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla akisalimiana na makada pamoja na wananchi. Balozi Dk. Nchimbi akisalimiana na wananchi baada ya kuwasili Mpanda. Dk. Nchimbi akisalimiana na viongozi na makada wa CCM. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 0754264203
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akilakiwa kwa furaha na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho ambaye hivi sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo wakati wa mapokezi kwenye mkutano wa hadhara mjini Tunduma wakati wa ziara ya kikazi mkoani Songwe Aprili 15, 2024. Dkt. Nchimbi ambaye ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu ameanza ziara ya kikazi ya siku kumi katika mikoa ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma. Lengo la ziara hiyo ni kuhuisha uhai wa chama, kutatua kero za wananchi, kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya chama hicho. Baada ya kumaliza katika mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe, ziara hiyo ya siku 10 yenye mafanikio makubwa, itaendelea kesho katika Mkoa Mbeya na hatimaye katika mikoa ya Njombe na Ruvuma. Chongolo akiwatambulisha viongozi wa mkoa hu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akitembelea mabanda na kujionea maonesho ya ubunifu katika masuala mbalimbali unaofanywa na wanafunzi, tukio lililofanyika kabla ya kufungua Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere, lililofanyika Jumatatu Aprili 8, 2024 katika Ukumbi wa Utamaduni wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kigamboni, Dar Es Salaam, ambalo lilijumuisha watu mbalimbali.
KILA GOLI MILIONI 1 📝📝📝 Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans Stephane Aziz Ki katoa Ahadi "Mchezaji yeyote atakae Funga Goli dhidi Mamelod Sundowns atapatiwa kiasi cha MILION 1 kutoka kwake. Pia kasema kwa upande wa Mabeki wakizuia vizuri bila kuruhusu goli watapatiwa MILION 1..! Sio Game ya Viongozi tu hata wachezaji wenyewe wanaitaji Mechi..!✅ Amesema Ally Kamwe Msemaji Wa Yanga #travellerwayanga #yangascupdates
Comments