KAZI YA KUONGOZA NCHI SIYO LELEMAMA - KOMREDI CHONGOLO+video


 Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo amesema kuwa ilani ya CCM yenye kurasa zaidi ya 300 ina mambo muhimu sana, Kazi ya kuongoza nchi siyo ya lelemama, ni kazi nzito, ngumu, ina wajibu hivyo inatakiwa kukaa mguu sawa kuhakikisha mambo yanaenda vizuri,

Ameyasema hayo alipokuwa akihutubia katika katika kikao na mwenyekiti wa shina namba 4, Deodatha Msasa katika jimbo la Kalenga Iringa Vijijini Mei 29,2023.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA