MJEMA AWATAHADHARISHA WATENDAJI WASIO NA MAJIBU SAHIHI KWA WANANCHI+video

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM, Sophia Mjema amewataka watendaji kujipanga vizuri kuhakikisha wanawapatia wananchi majibu sahihi kuhusu maendeleo ya miradi nchini. Ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu ziara ya kikazi ya siku saba ya Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo iliyohitimishwa Juni Mosi, 2023 kwenye Uwanja wa Mwembetokwa mjini Iringa.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mjema akitoa agizo hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA