π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.


 ... ⚙️ 

Ukiacha suala la kuwakosa key players wake (3), Gamondi alikuja na Approach sahihi dhidi ya Mamelodi Sundowns.


Alibadili aina ya uchezaji uliozoeleka Yanga 'POSSESSION FOOTBALL' akaja na MID-BLOCK Mchezo ambao hawaupendi Mamelodi ambao umewaondosha mara kadhaa kwenye mashindano haya.


Mamelodi walicheza kwa tahadhari kubwa ndio maana katika pasi 500+ walizopiga 70% ya pasi hizo walipiga kwenye eneo lao ... Gamondi aliwaachia mpira kwenye eneo lao na kuutaka kwa lazima wanapofika katikati ya uwanja. APPROACH ya kibingwa ☑️


Kama kocha unampa 80% kwa sababu matukio yote muhimu uwanjani yalifanywa na Yanga Kimbinu kilichobaki ilikuwa kuuweka mpira nyavuni tu umakini ulipungua kwa Mzize ×2, Aziz Ki ×1 na Musonda ×1,, Kocha afanye nini aingie afunge yeye ? 


... Jibu ni Hapana, kazi yake alishamaliza. (

BASICS) Unaweza kumlaumu kocha iwapo tu timu haifiki na haitengenezi nafasi za kufunga kwenye goli la mpinzani. 


Takwimu hizi zinaeleza vizuri kwa muhtasari nilichoandika hapo juu.


π™”π™–π™£π™œπ™– π™ˆπ™–π™’π™šπ™‘π™€π™™π™ž

____________________________________

4 ........... Shots on target ............... 2

2 ............. Big chances .................... 0

2 ......... Goalkeeper saves .............. 4


Wachezaji wenye rate kubwa ya Performance kwenye Mchezo.


◉ 7.8 — Ronwen Williams (Golikipa)

◉ 7.2 — Ibrahim Bacca.


Akienda na Approach kama hii Pretoria πŸ‡ΏπŸ‡¦ akawaongeza Aucho, Pacome na Yao NUSU FAINALI CAF champions league sio kitendawili kigumu sana.


🧠 Tom Cruz facts

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI