DKT NCHIMBI APOKELEWA RASMI MKOANI RUVUMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akivishwa skafu katika Ofisi za CCM Mkoa ikiwa ni ishara ya mapokezi  kwa Mkoa wa Ruvuma ambako ni nyumbani kwao.
Akikagua gwaride la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Ruvuma.
Akiwapungia mkono makada na wananchi waliofika kumlaki.
Akiangalia ngoma maarufu ya Lizombe.ya kabila la Wangoni.
Akisalimiana na baadhi ya viongozi 




 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI