Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akivishwa skafu katika Ofisi za CCM Mkoa ikiwa ni ishara ya mapokezi kwa Mkoa wa Ruvuma ambako ni nyumbani kwao.
Akikagua gwaride la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Ruvuma.
Akiwapungia mkono makada na wananchi waliofika kumlaki.
Akiangalia ngoma maarufu ya Lizombe.ya kabila la Wangoni.
Akisalimiana na baadhi ya viongozi
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Akikagua gwaride la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Ruvuma.
Akiwapungia mkono makada na wananchi waliofika kumlaki.
Akiangalia ngoma maarufu ya Lizombe.ya kabila la Wangoni.
Akisalimiana na baadhi ya viongozi
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
Comments