Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba, akifungua kikao cha viongozi wa wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu kujadili rasimu ya kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Baadhi ya Viongozi wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu vimebariki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) hadi hapo sheria itakapobadilishwa bungeni.
Wametoa maoni hayo wakati wa kikao cha vyama hivyo kujadili rasimu ya kanuni za uchaguzi huo wa mwaka 2024 jijini Dodoma Juni 15, 2024.
Viongozi mbalimbali wa vyama hivyo wakiwa kwenye kikao hicho wakati wakutoa maoni.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203
Comments