BABA KATIKA FAMILIA NDIYE MWENYE MAONO NA DIRA YA FAMILIA

 Baba ndiye anayepaswa kuwa na taswira ya wapi familia inaelekea — katika masuala ya:

 - Kiuchumi (maendeleo ya mali, makazi, elimu ya watoto)

 - Kiimani (mafundisho ya kiroho, maombi, kumcha Mungu)

 - Kijamii (mshikamano, heshima na mafanikio ya kifamilia)


Uthibitisho wa Kimaandiko:

 - Waefeso 5:23 — “Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe...”

 - Mithali 29:18 — “Pasipo maono, watu hujiachilia...”

 - Mwanzo 18:19 — “Maana nimemjua Ibrahim, kwamba atawaamuru watoto wake na nyumba yake baada yake, wayashike njia za Bwana...”


Mwanaume wa kweli si yule anayetoa amri kwa sauti, bali yule anayetoa mwelekeo kwa maono.

Baba wa kweli huamka mapema kuombea familia yake, huona mbali hata watoto wake wasipoona, hujinyima ili familia iendelee.

KWA ELIMU ZAIDI BOFYA HAPA...

https://www.facebook.com/share/v/191QXvU9Ev/ 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.