IJUE HISTORIA FUPI YA KIPA DJIGUI DIARRA

Kwenye "SPORTS BACK " leo tupo na DJIGUI DIARA. Mchezaji wa Young Africa ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. 

Jina kamili anaitwa DJIGUI OMARY CAMARY DIARRA,  Mzaliwa wa Bamako kutoka kabila la Bambala. Alizaliwa February 27 mwaka 1995. Djigui ni mchezaji ambaye hakuenda mbalii sanaa kimasomo kutokana na sababu mbalimbali zizotokea kipindii hicho.

DJIGUI alikuwa ni mtu aliyependa sanaa mziki kwa maan kuwa kucheza dance uko mtaani kwako,  baba ake Mzee Omary Diarra hakupendeza na kitendo cha DJIGUI kujihusisha na dance hali hiyo ilimpelekea baba ake kumpeleka kwenye academy ya timu ambayo mzee Omary alikuwa anaishabikia sanaa " STADE DE MALLIEN" ambapo DJIGUI alifanya majaribio na kufuzu ndipo akaanza kujifunza mpira chini ya academy ya STADE. 2007 Akiwa na umri wa miaka 12 na hapo alikuwa akicheza nafasi ya kiungo.

Mnamo mwaka 2011 rasmi DJIGUI alipandishwa kutoka timu ya vijana ya STADE  mpkaa senior timu ya STADE akiwa kama kiungo mshambuliaji akiwa na miaka 16  akafanikiwa kucheza vizurii hali iliyopelekea kuitwa timu ya taifa ya vijana under 17 ya ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ.

Baada ya kuitwa timu ya vijana under 17 ya Mali ndipo alipo ona ajaribu kucheza kama mlinda lango ndipo na waalimu na beach la ufundi wakaridhika na kiwango cha yeye kuweza kukaaa langoo ndipo DJIGUI DIARA rasmi akawa golikipa hadii tunapo muomba leo SCREEN PROTECTOR . na ni protector kweli kweli ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ 

Baada ya kucheza vyemaa sanaa STADE pamoja na Timu ya taifa ya Vijana ya Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ ndipo viongozii wa YOUNG AFRICA  ya jangwanii wakavutiwa naee na kumsajilii rasmi mnamo mwaka 2021 mpkaa ninapo andika nakala hiii DJIGUI OMARY CAMARY DIARRA ni mchezaji halali na protector halalii wa timu ya wananchi YANGA, Na golikipa namba moja wa timu ya Taifa ya MALII ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ. 

NA huyo ndoo DJIGUI DIARA  kwa UFUPI

Credit: ✍️ @Pajoh Msk 
#AFCON2025 
#viralreelschallenge 
#Mali 
#YoungAfricansSC



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA